Dozen boy par menelick music

Dozen boy par menelick music Ma page will be responsible in sharering some ideas concern music so let me join ma friends on push our culture and music

Ndivo maisha yalivo
29/12/2023

Ndivo maisha yalivo

05/12/2023
Utaelewa tu kwann wanaume hawajitambui wanapopata kadem kadogo
01/12/2023

Utaelewa tu kwann wanaume hawajitambui wanapopata kadem kadogo

Nadrooo za kutosha naliona Duka nashukaNampigia baby she told me bado nasukaWakati nakuja wataka zawadi gan,akasema....n...
24/06/2022

Nadrooo za kutosha naliona Duka nashuka
Nampigia baby she told me bado nasuka
Wakati nakuja wataka zawadi gan,akasema....njoo na yoyote mimi nitaipokea endesha gari kwa umakini pleas take care

MSOMI Account is mother of success
04/06/2022

MSOMI Account is mother of success

Zamani sana maisha acheni yaaendeleee ndugu zangu Tulikotoka ni mbali
24/05/2022

Zamani sana maisha acheni yaaendeleee ndugu zangu Tulikotoka ni mbali

TANZANIA VIONGOZI MNALALAMIKA NA NYIE NDO MNAUWEZO WA KUKATAZA MLIKATAZA VIROBA LAKINI SAIV KUNA ZA XHUPA YA PLASTIC BAA...
21/05/2022

TANZANIA VIONGOZI MNALALAMIKA NA NYIE NDO MNAUWEZO WA KUKATAZA
MLIKATAZA VIROBA LAKINI SAIV KUNA ZA XHUPA YA PLASTIC BAADA YA MIAKA 20 BAADAE TUTAKUWA KWENYE HALI MBAYA KWENYE NGUVU KAZI

Mamlaka ya Chakula na Dawa (TMDA) imewaonya Watumiaji wa sigara, ugoro na tumbaku dhidi ya athari za kiafya wanazoweza kuzipata ambapo imesema Watu Milioni 8 hufariki kwa mwaka kutokana na Kansa zinazosababishwa na uvutaji sigara huku Watu Mil 1.2 wanaokaa jirani na wavuta sigara wakipata madhara bila ya wao kujijua.

Akizungumza Mkoani Mtwara, Meneja wa TMDA Kanda ya Kusini Dr. Engelbert Mbekenga amesema kwa mujibu wa tafiti za Shirika la Afya Duniani (WHO) takribani Watu Milioni 8 Duniani wanakufa kutokana na Kansa zinazosababishwa na uvutaji wa sigara na 80% ya vifo hivyo vinapatikana katika Nchi zenye uchumi wa chini Tanzania ikiwemo"

"Watu Mil 1.2 wamepata madhara bila wenyewe kujua kwasababu ya kukaa jirani na wavuta sigara na wakati wenyewe hawavuti, kuna umuhimu wa kutoa taarifa kwa wale wanaotaka kuvuta wavute eneo lililojitenga na wengine ili wasiotumia wasipate madhara"

"Kuna madhara makubwa yanayotokana na uvutaji wa sigara ikiwemo Kansa inayoshamnulia eneo la upumuaji, kubadilika kwa meno kuwa machafu wakati wote na msongo wa mawazo"

Mama anapambana?
21/05/2022

Mama anapambana?

changes comes negative,globalization come with positive and negative impact now development of advanced weapon technolog...
21/05/2022

changes comes negative,globalization come with positive and negative impact now development of advanced weapon technology affect us. Life is change people fear they don't know who will stand and say for the new life new world that are in invisible place

21/05/2022
Sio kwamba Hatuwezi is matter of time tyu.....Even you think about where you came from...you will realize that no one bo...
19/05/2022

Sio kwamba Hatuwezi is matter of time tyu.....Even you think about where you came from...you will realize that no one born with it....everyone fights

Despite life are so difficult but our   and   God protect us and gives light
19/05/2022

Despite life are so difficult but our and God protect us and gives light

18/05/2022
Binadamu unauwezo mkubwa....Mungu kakupa ila ni kiburi tu ndo tunacho mnyama yoyote anakusikiliza na kukuelewa ni kiburi...
13/05/2022

Binadamu unauwezo mkubwa....Mungu kakupa ila ni kiburi tu ndo tunacho mnyama yoyote anakusikiliza na kukuelewa ni kiburi chako tu ,nao,mimi,nasema,nao

These guys wanajua sana na they make good na traditional story fatilia   kati ya   street na   street uku kipunje
11/05/2022

These guys wanajua sana na they make good na traditional story fatilia kati ya street na street uku kipunje

AFRICA ARE GIANT ARE STRONG AND THEY HAVE FULL OF CREATIVITY WEWE MTU UNAITWA   WHO ARE YOU BY THE WAY
27/04/2022

AFRICA ARE GIANT ARE STRONG AND THEY HAVE FULL OF CREATIVITY WEWE MTU UNAITWA WHO ARE YOU BY THE WAY

Usimtese mjane ye yote aliyefiwa na mumewe, wala mtoto yatima. Ni maneno ya biblia ila kuna binadamu wanafanya tu....una...
24/04/2022

Usimtese mjane ye yote aliyefiwa na mumewe, wala mtoto yatima. Ni maneno ya biblia ila kuna binadamu wanafanya tu....unawambia nini? Washauri usiache

Dunia bhana wamejaa wapumbavu........HIVI YULE  JOSEPH ANAPATA FAIDA GANI KUWAUA NDUGU NA KUHARIBU NYUMBANI KWA MUSA.......
24/04/2022

Dunia bhana wamejaa wapumbavu........HIVI YULE JOSEPH ANAPATA FAIDA GANI KUWAUA NDUGU NA KUHARIBU NYUMBANI KWA MUSA....HAPA KWELI JOSEPH HANA AKILI TIMAMU NI PEPO......TENAAAAAA TOKA PEPO UKO URUSI

RAIS wa Urusi Vladimir Putin amesema kombora jipya la RS-28 Sarmat Inter-Continental Ballistic Missile limerushwa kwa mafanikio makubwa kutoka uwanja wa Cosmodrome Plesetsk wakati wa jaribio la kwanza.

Amesema katika taarifa iliyoripotiwa na Shirika la Utangazaji la Urusi kuwa uzinduzi huo ni “muhimu" kwa Urusi, na kulipongeza jeshi kwa mafanikio makubwa.

Kombora hilo ni la kimkakati na litachukua nafasi ya kombora la awali la R-36M/R-36M2 Voevoda ICBMs. Linauwezo wa kubeba silaha zaidi na aina mpya ya vifaa vya kivita kwa kasi zaidi.

Una maoni usisite kutuandikia


Address

Chidachi
Dodoma
4125

Telephone

+255657948675

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dozen boy par menelick music posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dozen boy par menelick music:

Share


Other Performance & Event Venues in Dodoma

Show All