PCK Music
(5)

My dream ni uchaguzi ujao nataka kugombea nafasi ya urais kwenye cha changu cha PPRD nilichojisajili Je! Nikigombea mtaw...
09/09/2024

My dream ni uchaguzi ujao nataka kugombea nafasi ya urais kwenye cha changu cha PPRD nilichojisajili Je! Nikigombea mtaweza kunipa kura zenu?

Leo kazaliwa mtu muhim saana kwangu naomba mnisaidie kumtakia heri ya kuzaliwa HAPPY BIRTHDAY TO YOU CLARISS
06/09/2024

Leo kazaliwa mtu muhim saana kwangu naomba mnisaidie kumtakia heri ya kuzaliwa

HAPPY BIRTHDAY TO YOU CLARISS

29/08/2024
TAYARI UWONGOZI WA PCK AWARD WAME TANGAZA CATÉGORIE AMBAZO ZITA TUMIKA HUU MWAKA 2024 KWENYE PCK AWARD.👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇...
28/08/2024

TAYARI UWONGOZI WA PCK AWARD WAME TANGAZA CATÉGORIE AMBAZO ZITA TUMIKA HUU MWAKA 2024 KWENYE PCK AWARD.
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

🗣️ PCK AWARD DEUXIÈME ÉDITION
__________________

DES NOMINATIONS .

1. MEILLEUR ARTISTE URBAINE
2. MEILLEUR CHANSON
3. MEILLEURE ARTISTE DE RÉVÉLATION
4. MEILLEUR ARTISTE HIP_HOP
5. MEILLEUR ARTISTE RNB
6. MEILLEUR GROUPE
7. MEILLEUR ARTISTE DE RÉVÉLATION RNB
8. MEILLEUR ARTISTE DE RÉVÉLATION HIP _ HOP
9. MEILLEUR ARTISTE GOSPEL
10. MEILLEUR CHANSON GOSPEL
11. MEILLEUR ARTISTE ÉVOLUE À UVIRA
12. MEILLEUR ARTISTE TRADITIONNELLE
13. MEILLEUR CHANSON TRADITIONNELLE
14. MEILLEUR PEFORMENCE
15. MEILLEUR COLLABORATION
16. MEILLEUR RÉALISATEUR VIDÉO_CLIP
17. MEILLEUR VIDÉO
18. MEILLEUR ARTISTE DE MUSIQUE ÉLECTRONIQUE
19. MEILLEUR ARTISTE DIASPORA
20. MEILLEUR CHANSON DIASPORA
21. MEILLEUR GROUPE DANCE
22. MEILLEURE QUEEN VIDEO
23. MEILLEUR COMÉDIEN
24. MEILLEUR PROMOTEUR
25. MEILLEUR ARTISTE ACTEUR (MUSIQUE )

MR GAVE Gave fans PCK Briana Belami Muka Bargoss BAGRESS MUSIC Prof mirror MAPYA UVIRA Papy Love Malu Simba Sadiki Issa Rivan Ç'arrive Official Master B SHAKO Kofi Nicolas PCK AWARD Driodor Bãd Wiz Tyti Magambo Jackson Wakizazi Kipya Gregass Ngelesa KIMBA BOYS MUSIC H.A Karim Hypolite bakari Kivu Music Act Kateko Bonfils VanPersie Kimende Nova Mbongo Kimba-boy music official Luck Ready OG Gold Moses Abdallah zy SEJE TV Faby Likopa Savant Jafak Jicho la Bubu Jdd concordance Gloria Bash J blaise charoo Sapologuano Odenumz Yakutumba Garaboy simba M.k.m Sapo de Sapo Lady Sapna Lecture Eciba Luck Ready Charles Vladmir shakis boy Fido drc officiel

HAPPY BIRTHDAY TO MY SON.......
27/08/2024

HAPPY BIRTHDAY TO MY SON.......

UVIRA UVIRA PCK AWARD IS BACK NAMBIE KATI YA MR.BLUE NA KAYUMBA NI ARTIST GANI UNATAKA AWEPO LWENYE PCK AWARD?
23/08/2024

UVIRA UVIRA PCK AWARD IS BACK NAMBIE KATI YA MR.BLUE NA KAYUMBA NI ARTIST GANI UNATAKA AWEPO LWENYE PCK AWARD?

Kijana tafuta pesa IST sio gari ya kumnunulia mwanamke wako
13/08/2024

Kijana tafuta pesa IST sio gari ya kumnunulia mwanamke wako

Kwanza niipongeze serekali kwa kufanya ujenzi wa Bara Bara kuu ya uvira lakini nina maswali mengi kichwani sijapata jibu...
06/08/2024

Kwanza niipongeze serekali kwa kufanya ujenzi wa Bara Bara kuu ya uvira lakini nina maswali mengi kichwani sijapata jibu

Je! Serekali kabla ya kubomoa hizi nyumba Je! Imewalipa wahusika Fidia ili waweze kupata makazi mapya?

Na Je! Ni mkakati gani wameweka ili wanao bomolewa nyumba wasibaki kuhangaika kwakukosa makazi?

Je! Wenye nyumba zao walipewa taarifa kabla ya kuja kubomoa?

K**a hayo yoote yamefanyika kabla ya kubomoa hizo nyumba basi naipongeza serekali kwa 100%

Lakini K**a hawakufanya hivyo basi wameharibu maisha ya watu na kuweka hudhuni kubwa kwenye miyo ya watu………

19/07/2024

Ndugu zangu naomba leo ni waambie kitu Mista Champagne ndo msaniii wa ngu wa kwanza nilienzaga nae mpaka leo

Na hua nashindwa kusimamia msanii mwengine kwa sababu bado Mistachampagne sijamfikisha pale ninapo taka mimi.....

Hua tunatumia pesa nyingi saana kufanya toured zake na video clip za maana

Alafu juzi kuna artist wa uvira akaenda YouTube akafute wimbo wa Niko Tu bila kujua huo wimbo umetugharimu pesa ngapi.... bila kujua hua tunateseka kiasi gani ila tu mungu acha aitwe mungu

Anyway k**a unapenda juhudi na kazi za Champagne naomba le 1 September usikose kwenye Concert yake k**a upo uvira upo bukavu upo wapi njooo tujumuike kwa pamoja

Baada ya hiii Concert msanii wangu mista champagne nataka ni mnunulie Gari inayoendana na Jina lake kwa sasa baada ya hapo ni Colabo na artist wa nigeria 🇳🇬 Chezea mista champagne weweeee

Ndugu zangu naomba muendelee kutupa sapoti ili tuweze kufikia malengo

VANCOUVER BC SAVE THE DATE...... 31st AUGUST
13/07/2024

VANCOUVER BC SAVE THE DATE...... 31st AUGUST

HAPPY BIRTHDAY TO ME +1
10/07/2024

HAPPY BIRTHDAY TO ME +1

26/06/2024

KWA WATU WA TORONTO AMBAO MNAHITAJI TICKET ZA SHOW YA RAYVANNY CONCERT ZINAPATIKANA KWA WATU WAFUATAYO

1. +16478346903

2. +1437 436065

3. +16479063271

4. +15142187052

5. +16477059946

6. OTTMAN +14378486566

7. .1209 +14372270887

8. : +1 (437) 870-4706

10. Zam Zam +447498567851

11. +14372568626

12. +14169067327

13.

14. : +1 (226) 988-7202

Kwa watu wa Toronto mbao hitaji ticket za mkononi naweza kuwatafuta hao watu na mkaletewa ticket popote pale

Watu wa USA 🇺🇸 na mikoa mingine ya Canada 🇨🇦 munaweza kununua ticket zenu Online kupitia link ambayo ipo kwenye Bio ya &

22/06/2024

BAADA YA KAZI NI MAHESABU....... ASIE FANYA KAZI ASILE.......

13th july 2024 hebu nambie ni msanii Gani kati ya  na  ni yupi unataka tuwe nae kwenye Boat 🚢 siku hiyo?Ao wawepo wote? ...
21/06/2024

13th july 2024 hebu nambie ni msanii Gani kati ya na ni yupi unataka tuwe nae kwenye Boat 🚢 siku hiyo?

Ao wawepo wote? Na vip Host siku hiyo awe nani?

Sometimes Maskini hua anafikiria kutajirika haraka kupitia mgongo wa mtu bila kufikiria kua haraka haraka haina Baraka.....
18/06/2024

Sometimes Maskini hua anafikiria kutajirika haraka kupitia mgongo wa mtu bila kufikiria kua haraka haraka haina Baraka......

Sometimes WEMA wangu all the time hua unaniponzaa nilikaa kimya saana ila Naona nikiendelea kukaa kimya uongo anao uonge...
15/06/2024

Sometimes WEMA wangu all the time hua unaniponzaa nilikaa kimya saana ila Naona nikiendelea kukaa kimya uongo anao uongea Dj f***y juu yangu unaweza kugieuka kua ukweli

Iko hivi Mimi Huyu dada alikua mshkaji wangu siku moja baada ya ile PCK AWARD iliyofanyikaga uvira aliniomba tufa bye Show Burundi Tule msanii mkubwa kutoka tanzania

Ukweli siku sita nikakubali nikaanza maandalizi lakini kwakua burundi pesa zao hazina thamani nikamwambia tutafanya show ila tutapata hasara akanipanga na kuniaminisha uongo mwingi nikamuamini

Basi Mimi nikaongea na RAYVANNY nikamlipa kila kitu nikamtafuta na WEMA sepetu nae tuk**alizana basi woote wajaja kwenye show

Cha ajabu nilikua nikituma pesa afanye jambo anachukua pesa anakula nikituma pesa alipe media anakula mpaka siku moja alinipigia cm akinambia kuwa yeye ni MENEJA wa Achillian anataka Aimbe Mimi ukweli mwanzo nilikataa lakini baadae nikasema hapa hii ni opportunity kwa vijana wa nyumbani basi nikakubali nikapita na muongeza Sapologuano Odenumz Yakutumba lakini siku ya Press Conference Dj F***y huyo huyo akataka sifa akamfukuza Mista Champagne na kina wasikae kwenye meza moja na Rayvanny baadae nilipokuja kujua nikamuuliza akasema eti kulikua hakuna viti nikagundua ni uongo

Siku ya show ya Arena VIP concert akapoteaga na pesa za ticket alokua ameuzisha mpaka leo hakuishia hapo

Siku ya concert ya source du Nile nikamtuma kaka yangu kusimamia kila kitu kila akitafutwa ili ticket zihesabiwe na pesa akawa anajifanya yupo busy kuliko kitu chochote ikafika usiku akaja kwenye show kumbe ticket mechapisha mpaka za fake akawa na watu wengine wanauza ticket pesa zoote akapotea nazo mpaka leo

Yoote hayo nikakaa kimya kinachoniuma ni kwakua mpaka leo anaongea eti yeye ndo aligharamikia kila kitu kwenye show

Sasa niulize Je! F***y wewe unauwezo wa kumlipa Rayvanny 50000$ na gharama za show?

Mimi ndo nilimpigia cm na nikamlipa ijapokua wewe ulikua unakataa kabisa nakunambia kuwa tukimuweka champagne media hazitaweza ku sapoti show na kosa najutia ni kukuamini na kutumia jina lako kwenye ile concert ila Laiti Champagne angejua jinsi ulikua unamsema vibaya kwangu na kumponda hautaki awepo kwenye show sizani K**a angeongeaga na wewe

Sasa champagne huyo huyo ulokua unanikataza asiingie kwenye show ila yeye ndo alikua ananisaidia saana kuwa karibu na rayvanny burundi baada ya kwenda kuwatupa kigobe kwenye apartment ambayo imejaa machura mpaka nikawahamishia kiriri garden hotel Champagne huyo huyo nilimuweka ili apate Connection na Rayvanny kitu ambacho nilifanikiwa 100% kuwakutanisha na mpaka wamefanya remix ya nyimbo juzi Dar-es-salaam

Msichokijua kuhusu Mimi na champagne nazani toka champagne anaanza mziki Mimi ndio mtu pekeee nilianzaga nae na kua na mpa connection zoote za nje ya nchi that why siwezi kumtupa mtu ambae nilieanza nae toka chini

So Huyu f***y kwakifupi ni zaidi ya jambazi anae tumia sura ya uislam kuibia mtu live live sasa pesa zoote ameniibia ameishia kwenda Kalemi kumuoa kijana mdogo mpaka juzi anaita mtu aende kwake kumtengenezea kitanda mtu anaingia kwake chumba kichafu nguo zipo kwenye viatu Alafu akitoka make up K**a zoote mchafu ni mchafu tu ila nikwambie tu ukweli Pesa zangu nimekaa kimya ila zisipo kuzika basi zitakupa ulemavu wa milele sina zaidi ya hilo

Endelea kuibia watu na kujifanya una Akili nyingi ila tu Mimi na wewe tutamalizana kimya kimya Nipo tayari kuongeza pesa nikupe ulemavu wa milele ao kifo cha moja kwa moja hili nakuahidi hadharani……..

Wanangu wa Malawi Rasmi  Atakuwepo kwenye  Concert Malawi 🇲🇼
15/06/2024

Wanangu wa Malawi Rasmi Atakuwepo kwenye Concert Malawi 🇲🇼

Mista Champagne ndugu yangu hapa nimeamka na wazo kidogo nilikua natoa ushauri tuKwa sasa tayari umesha tengeneza jina e...
07/06/2024

Mista Champagne ndugu yangu hapa nimeamka na wazo kidogo nilikua natoa ushauri tu

Kwa sasa tayari umesha tengeneza jina east africa ila nakushauri acha kutumia tena jina ya nchi ya burundi coz wewe unaitangaza nchi ya burundi bila faida yoyote

Wewe unaitangaza nchi ya burundi na east africa nzima wanajua wewe ni murundi but Burundi hiyo hiyo haikutaki warundi hao hao wanakupiga vita kwenye nchi Yao warundi hao hao wanakunyima show na kubania nyimbo zao kwenye nchi yao

Pamoja na mabaya yote wanayokufanyia ila bado kila media unayoenda unatangaza nchi yao Kwanini?

Interview yako ya BBC nilitegemea pale ungesema kua wewe sio mrundi bali ni mtoto wa congo uvira inatakiwa ifike wakati ubadilike na uanze kuitangaza nchi yako kwa 100%

Kwa sababu hata watu wengi wanao kupa sapoti kubwa saana ni wa congo wanao ishi canada USA na Europe

Mimi mwenyewe Hua najitoa kwako kwasababu najua wewe ni ndugu yangu tuliptoka sehem moja that why show yoyote nikiandaa mimi mtu wa kwanza hua napigia cm ni wewe ndugu yangu

Sasa ni wakati wakupeperusha Bendera Ya kwetu na sio ya Burundi coz warundi Hao Hao Hawakutaki kuna faida gani kaka?

06/06/2024

TUMEFUNGUA PCK AGENCY TRAVEL BURUNDI

1. TUNAKATA TICKET ZA NDEGE KUSAFIRI DUNIANI KOTE

2. TUNATOA VISA ZA NCHI MBALI MBALI K**A VILE

CANADA

UK (LONDON)

AMERCA

SHEINGEN VISA

DUBAI

OMAN

SAUDI ARAB

QATAR

TURKEY

CHINE

UNAWEZA WASILIANA NA MIMI MWENYEWE KWA HUDUMA YOYOTE KUPITIA NUMBER HIII +25776 01 59 84. HIYO MY WHATSAP NUMBER…….

MATANDIKO KOLOSO...... HUYU JAMAA ALIWAIGI KUNISAIDIA KIPINDI FLANI NATOKA KUSOMA NILIKUA NA NJAAA KALI SAANA NIKAMUONA ...
05/06/2024

MATANDIKO KOLOSO...... HUYU JAMAA ALIWAIGI KUNISAIDIA KIPINDI FLANI NATOKA KUSOMA NILIKUA NA NJAAA KALI SAANA NIKAMUONA ALIKUA AMELEWA MCHANA AKAWA ANAHESABU PESA K**A UTANI NIKAMWAMBIA NINANJAA AKANIPA 200FC NIKAENDA KULA WALI MAHARAGE MU RESTAURANT ILIKUA INAITWA KWA MAMA KAHONGWA AV FIZI.....

HIYO NI SIKU SITAWEZAGA KUISAHAU ILA SIJUI K**A BADO MATANDIKO KOLOSO YUPO AU LA!! ILA K**A YUPO MNISAIDIE NAMNA YA KUMPATA.........

CONFIRMED M Kingson  ATAKUWEPO KWENYE RAYVANNY CONCERT...... CANADA 🇨🇦 TORONTO
31/05/2024

CONFIRMED M Kingson ATAKUWEPO KWENYE RAYVANNY CONCERT...... CANADA 🇨🇦 TORONTO

Canada 🇨🇦 Canada 🇨🇦 Toronto Tunaendelea pale tulipo ishia ni muendelezo wa  CONCERT BAADA YA KUTOKA BURUNDI 🇧🇮 NOW RAYVA...
30/05/2024

Canada 🇨🇦 Canada 🇨🇦 Toronto Tunaendelea pale tulipo ishia ni muendelezo wa CONCERT

BAADA YA KUTOKA BURUNDI 🇧🇮 NOW RAYVANNY CONCERT INAHAMIA TORONTO

6th JULY 2024 At Kutakua na Burudani Kubwa saana

ataimba nyimbo zake zoote unazozijua wewe Yani zoooote

Alafu sasa Mzee Wa Masiania RJ THE DJ the Best Dj In East Africa Atahakikisha munabutudika ipasavyo

Atahakikisha nae munapata Burudani K**a zooote Yani zooote……….

Alafu Host Wetu Atakua ni unakosa aje kuja kuona Msambwanda Original

Poa niwakumbushe tu kua ndo mrembo pekee East Africa ambae Hana mpinzani kwa shepu original ambayo sio ya china 🇨🇳

Ana shepu mobu…..

19/05/2024
18/05/2024

CANADA CANADA 🇨🇦🇨🇦🇨🇦 VANCOUVER TAREH 7 MWEZI WA7 NAWALETEA BURUDANI KUBWA HAIJAWAI KUTOKEA

HUKU PALE HUKU

ALAFU SASA HAKUNA KIINGILIO YANI SHOW NI BUREEEEEEE BUREEEEEEEEEEE KIIINGILIO NI MIGUU YAKO TU……

Address

Dubai

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PCK posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to PCK:

Videos

Share

Nearby event planning services



You may also like