PCK Music
(2)

05/03/2025

Leo nimekutana na ndugu yangu baada ya miaka mingi hatimae nime drive from toronto to Quebec kumuona ndugu yangu Joel Kilozo ilikua wasaa mzuri saana kumuona ndugu yangu......

N.B: Ndugu yangu ambae upo africa 🌍 usikubali kushauriwa kuja Canada maana hayo unayo yaona sio mvua ila ni barafu zinazotunyeshea hivyo bora ugali na dagaa kwenye joto kuliko ugali nyama kwenye snow ❄️

Matty amissi kaka snow ❄️ huiwezi Tulia zako Dar ndugu yangu

NOUS SOMMES DE LOCATAIRE DANS NOTRE PROPRE PAYS ! Que ceci éveille notre vraie lutte.Voici les leaders dans les secteurs...
09/02/2025

NOUS SOMMES DE LOCATAIRE DANS NOTRE PROPRE PAYS ! Que ceci éveille notre vraie lutte.

Voici les leaders dans les secteurs clés de la République Démocratique du Congo :

Transport aérien
1. Serve air = Indien
2. CAA = Belge
3. Air kasai = Russie

Batiment et Travaux Publics
1: sinohydro = Chine
2: Crec7 = Chine
3. Safricas = belge
4: Dematco= européen

Mines
1. Ivanoe = Canada
2. Tenge fugurume= chinois
3. KCC = suisse
4. Barrick Gold = Canada
5. Glencore = Swiss

Banque
1. Ecobank = Togo
2. Equity = Kenya
3. Standard bank = Afrique du Sud
4. Access bank = Nigeria
5. FNbank= Nigeria
6. Sofibanque = Liban
7. Solidaire banque = Liban

Logistique
1. Bolore = France
2. CGMA = France

Agro alimentaire
1. SOKIN =LIBAN
2. ALLIANCE BUSINESS INTERNATIONALE ex congo futur = Liban

Grande distribution
1. Kin marché : INDE
2. G&G market : INDE
3 Kin mart : Liban
4. Hyper psaro : grece
5. S&k : INDE
6. Galaxys : INDE
7. Shoprite : sud africain

Transport routier camions:
1. Trans Benz : Liban
2. Trans gazelle : Liban
3. NRG : Inde
4. TRC : Européen

Boisson gazeuse & alcool
1. Canadian pure : Inde
2. Américan water : libanais
3. Éden : Chine
4. Bralima. : Hollande
5. Bracongo :France

Assurances :
1. Activa : Cameroun
2. Rawsur : Inde
3. Sunu assurance : Afrique de l'ouest.
4. Sonas : RDC

Meubles:
1. Orca : Liban
2. Kitea : Maroc

Communication:
1. Vodacom : Sud africain & britannique
2. Airtel : Indien
3. Orange : France
4. Africel. : Libanais & américain.

Évangélisation :

1. ACK : RDC
2. Cité Béthel : RDC
3. FEPACO : RDC
4. Ministère Amen : RDC
5. Armée de l'éternel : RDC
6. Combat spirituel : RDC
7. Buka bikeko : RDC
8. Compassion : RDC
9. Jésus me connait : RDC
10. Mabele ya lisekwa: RDC
11. Résurrection : RDC
12. Nzambe ako sala : RDC
13. HV : RDC
14. NOUVELLE TERRE : RDC
15. Nzambe kaka : RDC
16. Yesu sunga Congo: RDC
18. Dieu du Congo : RDC
19. Tobika Liloba Tabernacle : RDC
20. Limbisa Ministres: RDC
21. Shekinah tabernacle : RDC
21. Baruti tabernacle : RDC
22. Église des saint de derniers jours : RDC
23. Tsheba ntshanyi : RDC
24. Goshen tabernacle : RDC
25. Hozanna tabernacle : RDC
26. Zoé tabernacle : RDC
27. Plus de 300 partis politiques tous appartenant ƙaux Congolais.

Que ceci éveille notre vraie lutte.

Congo Congo 🇨🇩 Ukweli inasikitisha saana kuona kiongozi yeye ana nenepa huku Raiya wake wanakufa kwa vita kila sikuKwanz...
08/02/2025

Congo Congo 🇨🇩 Ukweli inasikitisha saana kuona kiongozi yeye ana nenepa huku Raiya wake wanakufa kwa vita kila siku

Kwanza kitu naweza Sema Congo inatakiwa kwanza wawekeze kwenye Jeshi lake liwe imara....

Kununua vifaa vya Kavita huku wanajeshi wako hawana elimu ya kuvutumia ipasavyo hilo ni tatizo kubwa.....

Congo 🇨🇩 ndio nchi pekee isiyokua na Sniper hata umoja hayo yote ni ukosefu wakutokuwapa wanajeshi elimu

Sikuhizi kupigana vita na kushinda nikutumia akili nasiyo tu kufuatua Risasi

Inakuaje Depute anapewa mshahara wa 25000$ kwa mwezi Alafu jeshi ambae anailinda nchi yeye analipwa 180$

Mwanajeshi ana famillia inayo mtegemea ana watoto wanao soma wanategemea awalipie ada ya shule je! Hiyo 180$ mnaona inatosha?

Je! Adui akija kumpa pesa zaidi ili ampe njia unaona ataacha hizo pesa?

Then vita inapo tawala unaskia viongozi wanaanza kuhamasisha vijana na raiya woote eti wajitokeze kwa wingi waka jiunge na jeshi kwa nini?

Vijana wengi wamesoma saana Congo 🇨🇩 lakini hawapati ajira na ajira za maana zikitokea wanaopewa hizo kazi ni hao hao ndugu wa viongozi ndo wanaopewa kazi za ma ofisini ila ikitokea vita waanataka wale ambao wamesoma na hawana kazi ndo wajiunge na jeshi why?

Alafu mnataka vijana wajiunge na jeshi je! Ni elimu gani ao mafunzo gani mnao wapa vijana hao ili wakamilike kua wanajeshi?

Je! Congo kuna army university ngapi? Jibu ni hakuna hata moja nchi nzima ambapo hili ni tatizo kubwa saana

Kwakifupi ifikie hatua Wananchi wa Congo 🇨🇩 Waamke na kufumbua macho yao watafute kiongozi mwenye uchungu wakuleta maendeleo na amani ndani ya Congo nzima nasio hawa wezi na walafi wamadaraka wanao jifanya wana uchungu na nchi huku behind the scene wao ndo wanafurahiya vita iendelee ili wapate pesa na misaada kutoka nje ya nchi na pesa wanazila wao bila kusaidia wahanga wa vita.....

Hivi kati ya kumsaidia mjane asojiweza kabisa ukampa mtaji na akafanya biashara kweli akainuka nae akawa anajitegemea na...
07/02/2025

Hivi kati ya kumsaidia mjane asojiweza kabisa ukampa mtaji na akafanya biashara kweli akainuka nae akawa anajitegemea na kupata tabasam maishani mwake

Na kumsaidia Rafiki mnafki ambae kesho anasahau wema wako na kuja kuwa adui wako

Je! Kipi bora hapo ao ni yupi anae stahili kupewa huo msaada?

02/02/2025

Dah!!!! Aisee huyu mtoto hua ananiliza kila siku so pls k**a kuna binadam ambae kahusika kwakumpa adhabu hiii basi tuseme hiii imetosha jamani

Kuweni na huruma pia mjue kuna mungu na kihama this is to much......

Why binadam tumekua k**a wanyama???

Kila penye chuki basi ujue kuna wema ambao umetangulia.........Punguza wema binadam hawanaga kumbu kumbu......Watu wengi...
31/01/2025

Kila penye chuki basi ujue kuna wema ambao umetangulia.........

Punguza wema binadam hawanaga kumbu kumbu......

Watu wengi wana uadui na watu ambao walikua watu wao wakaribu ambao walikua wakiwasaidia kwa hali na mali na kuwaamini

Nina swali ndugu zangu mnisaidie kulijibu

Je! Ni kwanini binadam hata uwasaidie kiasi gani hua hawana shukran wala kukumbuka wema ambao alotendewa?

28/10/2024

PALE PROMOTER ANAPO GIEUKA KUA SHABIKI YA ARTIST ALOFANYA NAE KAZI🤣🤣🤣🤣🤣

HUYO NI BRUCE MELODIE KUTOKA RWANDA 🇷🇼 PAMOJA NA KUA TULIKUA KAZINI LAKINI ALIPOKUA ANAIMBA NILIJIKUTA NINA MOTION KUBWA NIKAAMUA KUMZAWADIA ZAWADI YA SAA YANGU AINA YA ROLEX YENYE THAMANI YA 15000 USD YOOTE KWA AJILI YA UPENDO NA VIBE YA SHOW......

Hello montreal save the date 1st January 2025
26/10/2024

Hello montreal save the date 1st January 2025

Burundi 🇧🇮 bujumbura Woote tukutane Source Du Nile tareh 23 November kwenye   Atakuwepo 1. Officialdramat 🇧🇮 2. Mista Ch...
24/10/2024

Burundi 🇧🇮 bujumbura Woote tukutane Source Du Nile tareh 23 November kwenye

Atakuwepo

1. Officialdramat 🇧🇮

2. Mista Champagne 🇧🇮

3. Alvin smith frimeur 🇧🇮

4. 🇹🇿

5. 🇹🇿

6. 🇹🇿

7. 🇧🇮

8. 🇧🇮

Nawengine wengi kibao .......... kwa kiingilio cha 20000 frbu tu mlangoni

UVIRA.............ninasikitika kutangaza kua sitokuja kujihusisha tena na swala lolote linaloihusu saana ya uvira kwa ja...
23/10/2024

UVIRA.............

ninasikitika kutangaza kua sitokuja kujihusisha tena na swala lolote linaloihusu saana ya uvira kwa jambo lolote lile

Uamuzi huu nimeufanya baada ya baadhi ya wasanii wa uvira kua wananiongelea vibaya mpaka kwenye ma group ya whatsap wengine wamefika mbali kwakusema kua nipo natajirikia uvira kupitia wao....

Ndugu zangu kila nilichokua nakifanya uvira ilikua just kusapoti sanaa ya uvira lakini sikujua kua kuna wasaniii ambao walikua na fikra tofauti na kuanza kunijadili tofauti.....

Alafu kinachoniumiza wasaniii zaidi ya 15 wa uvira nimetoaga pesa zangu mfukoni kuwatafutia PASSPORT na woote wanazo wakapewa yoote nikijaribu kuwatafutia njia ya kuwatoa uvira waende kufanya kazi na artist wa tanzania 🇹🇿 yoote ilikua kutangaza mziki wa uvira ila yoote kwa yoote wasanii hao hao wapo ambao kati yao wamechangia kuongea upuuzi huku wanasahau kua nilitoa pesa zangu kuwalipia mpaka nauli za kwenda bukavu wengine walienda mpaka goma kufatilia passport but leo hii PCK hafai kwenye sanaa ya uvira kweli....

Sasa ili nisiendelee kutajirikia uvira nimeamua kukaa pembeni ili wengine waendelee kuiendesha saana ya uvira na waifikishe pale panapostahili kufika asante saana

Ila mama wakambo nyieeee ni hatari.... kamgongelea mtoto wa mwanamke msumari kichwani utafikiri anagonga kwenye mbao.......
10/10/2024

Ila mama wakambo nyieeee ni hatari.... kamgongelea mtoto wa mwanamke msumari kichwani utafikiri anagonga kwenye mbao......

If u are in toronto just go get your ticket now Bruce melodie is coming this November 2 Click the link to buy the ticket...
09/10/2024

If u are in toronto just go get your ticket now

Bruce melodie is coming this November 2

Click the link to buy the ticket...

A new way to reach your audience and elevate your host experience.

Fanya kazi kwa bidiii Make money but all in All Mtangulize ALLAH kwa kila hatua ya maisha yako....Usiishi kwakuhofia man...
26/09/2024

Fanya kazi kwa bidiii Make money but all in All Mtangulize ALLAH kwa kila hatua ya maisha yako....

Usiishi kwakuhofia maneno ya walimwengu ila ishi kwakumuhofia Mwenyezi mungu alokuumba....

Juma pili Team nzima ya Itakua katika Hospitali ya mnazi mmoja Unguja nchini zanzibar......

Address

Dubai

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PCK posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to PCK:

Videos

Share