09/09/2024
My dream ni uchaguzi ujao nataka kugombea nafasi ya urais kwenye cha changu cha PPRD nilichojisajili Je! Nikigombea mtaweza kunipa kura zenu?
Music
(5)
My dream ni uchaguzi ujao nataka kugombea nafasi ya urais kwenye cha changu cha PPRD nilichojisajili Je! Nikigombea mtaweza kunipa kura zenu?
Leo kazaliwa mtu muhim saana kwangu naomba mnisaidie kumtakia heri ya kuzaliwa
HAPPY BIRTHDAY TO YOU CLARISS
TAYARI UWONGOZI WA PCK AWARD WAME TANGAZA CATÉGORIE AMBAZO ZITA TUMIKA HUU MWAKA 2024 KWENYE PCK AWARD.
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
🗣️ PCK AWARD DEUXIÈME ÉDITION
__________________
DES NOMINATIONS .
1. MEILLEUR ARTISTE URBAINE
2. MEILLEUR CHANSON
3. MEILLEURE ARTISTE DE RÉVÉLATION
4. MEILLEUR ARTISTE HIP_HOP
5. MEILLEUR ARTISTE RNB
6. MEILLEUR GROUPE
7. MEILLEUR ARTISTE DE RÉVÉLATION RNB
8. MEILLEUR ARTISTE DE RÉVÉLATION HIP _ HOP
9. MEILLEUR ARTISTE GOSPEL
10. MEILLEUR CHANSON GOSPEL
11. MEILLEUR ARTISTE ÉVOLUE À UVIRA
12. MEILLEUR ARTISTE TRADITIONNELLE
13. MEILLEUR CHANSON TRADITIONNELLE
14. MEILLEUR PEFORMENCE
15. MEILLEUR COLLABORATION
16. MEILLEUR RÉALISATEUR VIDÉO_CLIP
17. MEILLEUR VIDÉO
18. MEILLEUR ARTISTE DE MUSIQUE ÉLECTRONIQUE
19. MEILLEUR ARTISTE DIASPORA
20. MEILLEUR CHANSON DIASPORA
21. MEILLEUR GROUPE DANCE
22. MEILLEURE QUEEN VIDEO
23. MEILLEUR COMÉDIEN
24. MEILLEUR PROMOTEUR
25. MEILLEUR ARTISTE ACTEUR (MUSIQUE )
MR GAVE Gave fans PCK Briana Belami Muka Bargoss BAGRESS MUSIC Prof mirror MAPYA UVIRA Papy Love Malu Simba Sadiki Issa Rivan Ç'arrive Official Master B SHAKO Kofi Nicolas PCK AWARD Driodor Bãd Wiz Tyti Magambo Jackson Wakizazi Kipya Gregass Ngelesa KIMBA BOYS MUSIC H.A Karim Hypolite bakari Kivu Music Act Kateko Bonfils VanPersie Kimende Nova Mbongo Kimba-boy music official Luck Ready OG Gold Moses Abdallah zy SEJE TV Faby Likopa Savant Jafak Jicho la Bubu Jdd concordance Gloria Bash J blaise charoo Sapologuano Odenumz Yakutumba Garaboy simba M.k.m Sapo de Sapo Lady Sapna Lecture Eciba Luck Ready Charles Vladmir shakis boy Fido drc officiel
HAPPY BIRTHDAY TO MY SON.......
UVIRA UVIRA PCK AWARD IS BACK NAMBIE KATI YA MR.BLUE NA KAYUMBA NI ARTIST GANI UNATAKA AWEPO LWENYE PCK AWARD?
Kijana tafuta pesa IST sio gari ya kumnunulia mwanamke wako
Kwanza niipongeze serekali kwa kufanya ujenzi wa Bara Bara kuu ya uvira lakini nina maswali mengi kichwani sijapata jibu
Je! Serekali kabla ya kubomoa hizi nyumba Je! Imewalipa wahusika Fidia ili waweze kupata makazi mapya?
Na Je! Ni mkakati gani wameweka ili wanao bomolewa nyumba wasibaki kuhangaika kwakukosa makazi?
Je! Wenye nyumba zao walipewa taarifa kabla ya kuja kubomoa?
K**a hayo yoote yamefanyika kabla ya kubomoa hizo nyumba basi naipongeza serekali kwa 100%
Lakini K**a hawakufanya hivyo basi wameharibu maisha ya watu na kuweka hudhuni kubwa kwenye miyo ya watu………
Ndugu zangu naomba leo ni waambie kitu Mista Champagne ndo msaniii wa ngu wa kwanza nilienzaga nae mpaka leo
Na hua nashindwa kusimamia msanii mwengine kwa sababu bado Mistachampagne sijamfikisha pale ninapo taka mimi.....
Hua tunatumia pesa nyingi saana kufanya toured zake na video clip za maana
Alafu juzi kuna artist wa uvira akaenda YouTube akafute wimbo wa Niko Tu bila kujua huo wimbo umetugharimu pesa ngapi.... bila kujua hua tunateseka kiasi gani ila tu mungu acha aitwe mungu
Anyway k**a unapenda juhudi na kazi za Champagne naomba le 1 September usikose kwenye Concert yake k**a upo uvira upo bukavu upo wapi njooo tujumuike kwa pamoja
Baada ya hiii Concert msanii wangu mista champagne nataka ni mnunulie Gari inayoendana na Jina lake kwa sasa baada ya hapo ni Colabo na artist wa nigeria 🇳🇬 Chezea mista champagne weweeee
Ndugu zangu naomba muendelee kutupa sapoti ili tuweze kufikia malengo
VANCOUVER BC SAVE THE DATE...... 31st AUGUST
HAPPY BIRTHDAY TO ME +1
KWA WATU WA TORONTO AMBAO MNAHITAJI TICKET ZA SHOW YA RAYVANNY CONCERT ZINAPATIKANA KWA WATU WAFUATAYO
1. +16478346903
2. +1437 436065
3. +16479063271
4. +15142187052
5. +16477059946
6. OTTMAN +14378486566
7. .1209 +14372270887
8. : +1 (437) 870-4706
10. Zam Zam +447498567851
11. +14372568626
12. +14169067327
13.
14. : +1 (226) 988-7202
Kwa watu wa Toronto mbao hitaji ticket za mkononi naweza kuwatafuta hao watu na mkaletewa ticket popote pale
Watu wa USA 🇺🇸 na mikoa mingine ya Canada 🇨🇦 munaweza kununua ticket zenu Online kupitia link ambayo ipo kwenye Bio ya &
BAADA YA KAZI NI MAHESABU....... ASIE FANYA KAZI ASILE.......
13th july 2024 hebu nambie ni msanii Gani kati ya na ni yupi unataka tuwe nae kwenye Boat 🚢 siku hiyo?
Ao wawepo wote? Na vip Host siku hiyo awe nani?
Sometimes Maskini hua anafikiria kutajirika haraka kupitia mgongo wa mtu bila kufikiria kua haraka haraka haina Baraka......
Sometimes WEMA wangu all the time hua unaniponzaa nilikaa kimya saana ila Naona nikiendelea kukaa kimya uongo anao uongea Dj f***y juu yangu unaweza kugieuka kua ukweli
Iko hivi Mimi Huyu dada alikua mshkaji wangu siku moja baada ya ile PCK AWARD iliyofanyikaga uvira aliniomba tufa bye Show Burundi Tule msanii mkubwa kutoka tanzania
Ukweli siku sita nikakubali nikaanza maandalizi lakini kwakua burundi pesa zao hazina thamani nikamwambia tutafanya show ila tutapata hasara akanipanga na kuniaminisha uongo mwingi nikamuamini
Basi Mimi nikaongea na RAYVANNY nikamlipa kila kitu nikamtafuta na WEMA sepetu nae tuk**alizana basi woote wajaja kwenye show
Cha ajabu nilikua nikituma pesa afanye jambo anachukua pesa anakula nikituma pesa alipe media anakula mpaka siku moja alinipigia cm akinambia kuwa yeye ni MENEJA wa Achillian anataka Aimbe Mimi ukweli mwanzo nilikataa lakini baadae nikasema hapa hii ni opportunity kwa vijana wa nyumbani basi nikakubali nikapita na muongeza Sapologuano Odenumz Yakutumba lakini siku ya Press Conference Dj F***y huyo huyo akataka sifa akamfukuza Mista Champagne na kina wasikae kwenye meza moja na Rayvanny baadae nilipokuja kujua nikamuuliza akasema eti kulikua hakuna viti nikagundua ni uongo
Siku ya show ya Arena VIP concert akapoteaga na pesa za ticket alokua ameuzisha mpaka leo hakuishia hapo
Siku ya concert ya source du Nile nikamtuma kaka yangu kusimamia kila kitu kila akitafutwa ili ticket zihesabiwe na pesa akawa anajifanya yupo busy kuliko kitu chochote ikafika usiku akaja kwenye show kumbe ticket mechapisha mpaka za fake akawa na watu wengine wanauza ticket pesa zoote akapotea nazo mpaka leo
Yoote hayo nikakaa kimya kinachoniuma ni kwakua mpaka leo anaongea eti yeye ndo aligharamikia kila kitu kwenye show
Sasa niulize Je! F***y wewe unauwezo wa kumlipa Rayvanny 50000$ na gharama za show?
Mimi ndo nilimpigia cm na nikamlipa ijapokua wewe ulikua unakataa kabisa nakunambia kuwa tukimuweka champagne media hazitaweza ku sapoti show na kosa najutia ni kukuamini na kutumia jina lako kwenye ile concert ila Laiti Champagne angejua jinsi ulikua unamsema vibaya kwangu na kumponda hautaki awepo kwenye show sizani K**a angeongeaga na wewe
Sasa champagne huyo huyo ulokua unanikataza asiingie kwenye show ila yeye ndo alikua ananisaidia saana kuwa karibu na rayvanny burundi baada ya kwenda kuwatupa kigobe kwenye apartment ambayo imejaa machura mpaka nikawahamishia kiriri garden hotel Champagne huyo huyo nilimuweka ili apate Connection na Rayvanny kitu ambacho nilifanikiwa 100% kuwakutanisha na mpaka wamefanya remix ya nyimbo juzi Dar-es-salaam
Msichokijua kuhusu Mimi na champagne nazani toka champagne anaanza mziki Mimi ndio mtu pekeee nilianzaga nae na kua na mpa connection zoote za nje ya nchi that why siwezi kumtupa mtu ambae nilieanza nae toka chini
So Huyu f***y kwakifupi ni zaidi ya jambazi anae tumia sura ya uislam kuibia mtu live live sasa pesa zoote ameniibia ameishia kwenda Kalemi kumuoa kijana mdogo mpaka juzi anaita mtu aende kwake kumtengenezea kitanda mtu anaingia kwake chumba kichafu nguo zipo kwenye viatu Alafu akitoka make up K**a zoote mchafu ni mchafu tu ila nikwambie tu ukweli Pesa zangu nimekaa kimya ila zisipo kuzika basi zitakupa ulemavu wa milele sina zaidi ya hilo
Endelea kuibia watu na kujifanya una Akili nyingi ila tu Mimi na wewe tutamalizana kimya kimya Nipo tayari kuongeza pesa nikupe ulemavu wa milele ao kifo cha moja kwa moja hili nakuahidi hadharani……..
Wanangu wa Malawi Rasmi Atakuwepo kwenye Concert Malawi 🇲🇼
Mista Champagne ndugu yangu hapa nimeamka na wazo kidogo nilikua natoa ushauri tu
Kwa sasa tayari umesha tengeneza jina east africa ila nakushauri acha kutumia tena jina ya nchi ya burundi coz wewe unaitangaza nchi ya burundi bila faida yoyote
Wewe unaitangaza nchi ya burundi na east africa nzima wanajua wewe ni murundi but Burundi hiyo hiyo haikutaki warundi hao hao wanakupiga vita kwenye nchi Yao warundi hao hao wanakunyima show na kubania nyimbo zao kwenye nchi yao
Pamoja na mabaya yote wanayokufanyia ila bado kila media unayoenda unatangaza nchi yao Kwanini?
Interview yako ya BBC nilitegemea pale ungesema kua wewe sio mrundi bali ni mtoto wa congo uvira inatakiwa ifike wakati ubadilike na uanze kuitangaza nchi yako kwa 100%
Kwa sababu hata watu wengi wanao kupa sapoti kubwa saana ni wa congo wanao ishi canada USA na Europe
Mimi mwenyewe Hua najitoa kwako kwasababu najua wewe ni ndugu yangu tuliptoka sehem moja that why show yoyote nikiandaa mimi mtu wa kwanza hua napigia cm ni wewe ndugu yangu
Sasa ni wakati wakupeperusha Bendera Ya kwetu na sio ya Burundi coz warundi Hao Hao Hawakutaki kuna faida gani kaka?
TUMEFUNGUA PCK AGENCY TRAVEL BURUNDI
1. TUNAKATA TICKET ZA NDEGE KUSAFIRI DUNIANI KOTE
2. TUNATOA VISA ZA NCHI MBALI MBALI K**A VILE
CANADA
UK (LONDON)
AMERCA
SHEINGEN VISA
DUBAI
OMAN
SAUDI ARAB
QATAR
TURKEY
CHINE
UNAWEZA WASILIANA NA MIMI MWENYEWE KWA HUDUMA YOYOTE KUPITIA NUMBER HIII +25776 01 59 84. HIYO MY WHATSAP NUMBER…….
MATANDIKO KOLOSO...... HUYU JAMAA ALIWAIGI KUNISAIDIA KIPINDI FLANI NATOKA KUSOMA NILIKUA NA NJAAA KALI SAANA NIKAMUONA ALIKUA AMELEWA MCHANA AKAWA ANAHESABU PESA K**A UTANI NIKAMWAMBIA NINANJAA AKANIPA 200FC NIKAENDA KULA WALI MAHARAGE MU RESTAURANT ILIKUA INAITWA KWA MAMA KAHONGWA AV FIZI.....
HIYO NI SIKU SITAWEZAGA KUISAHAU ILA SIJUI K**A BADO MATANDIKO KOLOSO YUPO AU LA!! ILA K**A YUPO MNISAIDIE NAMNA YA KUMPATA.........
https://www.ticketgateway.com/event/view/rayvanny-live-in-concert-canada-toronto2024
PCKENTERTAINMENT is organizing RAYVANNY LIVE IN CONCERT CANADA TORONTO event by PCKENTERTAINMENT on 2024-07-06 21:00:00 in Toronto, Canada., we are also selling the tickets for BLESSING DAY,RAYVANNY LIVE IN CONCERT CANADA TORONTO of that particular PCKENTERTAINMENT's also.
CONFIRMED M Kingson ATAKUWEPO KWENYE RAYVANNY CONCERT...... CANADA 🇨🇦 TORONTO
Canada 🇨🇦 Canada 🇨🇦 Toronto Tunaendelea pale tulipo ishia ni muendelezo wa CONCERT
BAADA YA KUTOKA BURUNDI 🇧🇮 NOW RAYVANNY CONCERT INAHAMIA TORONTO
6th JULY 2024 At Kutakua na Burudani Kubwa saana
ataimba nyimbo zake zoote unazozijua wewe Yani zoooote
Alafu sasa Mzee Wa Masiania RJ THE DJ the Best Dj In East Africa Atahakikisha munabutudika ipasavyo
Atahakikisha nae munapata Burudani K**a zooote Yani zooote……….
Alafu Host Wetu Atakua ni unakosa aje kuja kuona Msambwanda Original
Poa niwakumbushe tu kua ndo mrembo pekee East Africa ambae Hana mpinzani kwa shepu original ambayo sio ya china 🇨🇳
Ana shepu mobu…..
CANADA CANADA 🇨🇦🇨🇦🇨🇦 VANCOUVER TAREH 7 MWEZI WA7 NAWALETEA BURUDANI KUBWA HAIJAWAI KUTOKEA
HUKU PALE HUKU
ALAFU SASA HAKUNA KIINGILIO YANI SHOW NI BUREEEEEEE BUREEEEEEEEEEE KIIINGILIO NI MIGUU YAKO TU……
Dubai
Be the first to know and let us send you an email when PCK posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Send a message to PCK:
Ndugu zangu naomba leo ni waambie kitu Mista Champagne ndo msaniii wa ngu wa kwanza nilienzaga nae mpaka leo Na hua nashindwa kusimamia msanii mwengine kwa sababu bado Mistachampagne sijamfikisha pale ninapo taka mimi..... Hua tunatumia pesa nyingi saana kufanya toured zake na video clip za maana Alafu juzi kuna artist wa uvira akaenda YouTube akafute wimbo wa Niko Tu bila kujua huo wimbo umetugharimu pesa ngapi.... bila kujua hua tunateseka kiasi gani ila tu mungu acha aitwe mungu Anyway kama unapenda juhudi na kazi za Champagne naomba le 1 September usikose kwenye Concert yake kama upo uvira upo bukavu upo wapi njooo tujumuike kwa pamoja Baada ya hiii Concert msanii wangu mista champagne nataka ni mnunulie Gari inayoendana na Jina lake kwa sasa baada ya hapo ni Colabo na artist wa nigeria 🇳🇬 Chezea mista champagne weweeee Ndugu zangu naomba muendelee kutupa sapoti ili tuweze kufikia malengo
KWA WATU WA TORONTO AMBAO MNAHITAJI TICKET ZA SHOW YA RAYVANNY CONCERT ZINAPATIKANA KWA WATU WAFUATAYO 1. @mcbonde1 +16478346903 2. @iam_cizerineck +1437 436065 3. @nyanchoka_sly +16479063271 4. @djyoungtifu_ +15142187052 5. @shebbiofficial +16477059946 6. OTTMAN +14378486566 7. @noor.1209 +14372270887 8. @djladysupa : +1 (437) 870-4706 10. Zam Zam +447498567851 11. @dismasdc +14372568626 12. @fatairomello +14169067327 13. @_kingoina12 14. @Slykiz1 : +1 (226) 988-7202 Kwa watu wa Toronto mbao hitaji ticket za mkononi naweza kuwatafuta hao watu na mkaletewa ticket popote pale Watu wa USA 🇺🇸 na mikoa mingine ya Canada 🇨🇦 munaweza kununua ticket zenu Online kupitia link ambayo ipo kwenye Bio ya @official_pck & @pckentertainmentltd
CANADA CANADA 🇨🇦🇨🇦🇨🇦 VANCOUVER TAREH 7 MWEZI WA7 NAWALETEA BURUDANI KUBWA HAIJAWAI KUTOKEA HUKU @rayvanny PALE @mbosso_ HUKU @romyjons ALAFU SASA HAKUNA KIINGILIO YANI SHOW NI BUREEEEEEE BUREEEEEEEEEEE KIIINGILIO NI MIGUU YAKO TU……
Kwanza kabisa niwashukuru watu woote wa burundi ambao walijitokeza kwenye show niloiandaa mimi ya rayvanny nchini burundi... Ndugu zangu hii show ya jana nimeiandaa mimi ila kwakua kampuni ya PCK haija sajiliwa burundi hivyo ikanibidi kutumia jina la dj fanny ila kwa 100% nimefanya mimi na ndiomaana nikatoa fursa kwa vijana wa uvira kuonyesha kipaji chao hivyo nitumie fursa hiii kuwashukuru woote mloijitokeza jana kuja kutoa sapot yenu sina cha kuwalipa ila mungu awazidishie
DRAKE ON THE STAGE........ SHOW YA LEO YA DRAKE KIINGILIO ILIKUA 500$ NA VIP 1600$ NA WATU WAMEJAAA UWANJA MZIMA WA SCOTIABANK ARENA...... ILA WHY MTU UKIFANYA SHOW YA WASANII WA AFRICA UKIWEKA KIINGILIO CHA 100$ WATU WANA LALAMIKA SAANA ILA WAZUNGU HAWAJALI KIINGILIO WAO NI MWENDO WA KU ENJOY TU.........
Hiii Story ya diamondplatnumz pamoja na Sarah inanikumbusha mbali saana Acha niwape story kidogo..... Mimi kweli ni kijana wa uvira miaka kwetu tulikua maskini saana wakutupwa.... maisha ya kwetu yalikua bahati nasibu kunasiku tulikua tuna lala na kushinda njaa na kipindi tukivuna mahindi kawizi hapo tulikua na uhakika wa chakula ndani..... Sasa story iko hivi...... Mimi zamani nilikua 1frst secondary Niliingiaga kwenye mapenzi na mwanamke Aitwae Mwamini Aruna kwao ilikua ni kasenga basi nilimpenda saana yule mwanamke nae akanionyesha kua ananipenda ila hakua anamaanisha basi nikawa natoka mulongwe kila siku naenda kumuona kwao Kasenga kila siku iwe imenyesha mvua nitakimbia kwenye mvua mpaka nifike nyumbani yote hayo yalikua ni mapenzi nilokuaga nae kwake.... Basi ikaenda siku moja akaja kunambia kua ana mimba yangu kiukweli sikuikataa ile mimba niliikubali 100% na baadae nyumbani kwao wakaja kujua kua Mwamini ni mjamzito basi kwao wakamleta kwetu walipo mleta kwetu kiukweli waliweza kumpokea basi tukaanza kuishi pamoja nyumbani.... Ikaenda baada ya wiki mbili nilikua nimeamka nataka kwenda shuleni asubui na mapema nikakuta police mlangoni wamekuja kunichukua mimi na mwamini wakatupeleka ku bureau 2 kutufunga lakini cha ajabu tulipofika pale nikaambiwa nashtakiwa kumpa mimba mwanafunzi mwenye umri wa miaka 15.... dah nikasema sasa naenda jela... ila mungu mkubwa nilikuja kuachiwa yoote kumbe kwao walitoa pesa ili waweze kuniweka mbali na binti yao.... Basi baadae na sisi nyumbani wakakopa kopa pesa nakuchangisha kwa majirani ikapatikanaga 100$ wakanitoa kipindi hicho 100$ ilikua pesa kubwa saaana basi baada ya miezi 9 Mwamini alijifungua mtoto wa kike pale hospital General D'uvira ... Nilienda kumuona mtoto nikalipia mpaka pesa za hospital na kumbuka kipindi hicho nilikua na rafiki yangu mkubwa saana alikua anaitwa DANIEL RUKWASHO na mwengine alikua anaitwa JACQUE RUHAHA hao watu walikua wananipa hata 200frc ni nunue hata sukari ya mtoto..... so baadae nili
Leo nipo live na shuhudia performance kubwa kutoka kwa #NICKMINAJ huyu binti anajua kucheza na stage hatariiiii.....
Ninapenda kutoa shukran zangu za dhat kwa woote mlijitokeza jana kwenye show ya Mbosso Khan Canada 🇨🇦 TORONTO Kwa sasa tujiandae sasa na Show ya ASAKE kutoka Nigeria 🇳🇬 April Canada 🇨🇦 #PCKENTERTAINMENT4REVER
Tarifa njema kwa wapenda mziki ni kwamba tumetoa punguzo ya kiingilio kwenye show ya mbosso hivyo kiingilio tumeweka $65 CAD kuanzia leo mpaka Tareh 1 March 2024 Ila ikifika Tareh 2 March kiingilio itakua ni $85 CAD Gusa link hapo chini ujipatie Ticket yako Mapema https://www.ticketgateway.com/springbash2024
Toe 2 Toe Boxing Academy - Dubai جيم تو 2 تو
Briah Street/Dubai MarinaZenith Sports and Event Management
Dubai Business Bay