It is a great honour for AICC/JNICC to host this historical event of the Africa Heads of State Energy Summit.
#mission300 accomplished successfully
#poweringtanzania
#poweringafrica
#webringtheworldtotanzania
Recap of day one of the Africa Heads of State Energy Summit.
#poweringtanzania
#poweringafrica
#mission300
#webringtheworldtotanzania
Tanzania is ready
Africa is ready
JNICC is ready
To host this 2 days historical summit of the Heads of State Energy Summit from 27th-28th January
#poweringtanzania
#poweringafrica
#mission300
HAPPENING AT AICC, Arusha.
Don't plan to miss.
@baba_keagan
@mwalimchurchill
#webringtheworldtotanzania
Happening tomorrow at AICC.
#webringtheworldtotanzania
Ujumbe wa Mkurugenzi wa AICC Bi.Christine Mwakatobe kwa wanamichezo kutoka AICC wanaoenda kuiwakilisha Taasisi kwenye michezo ya SHIMMUTA 2024 inayofanyika jijini Tanga.
#webringtheworldtotanzania
Happening today at JNICC, Dar es Salaam
#webringtheworldtotanzania
#REPOST @makamu_wa_rais_tz with @get__repost__app DONDOO;
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango, akifungua Kongamano la 10 la Jotoardhi Afrika linalofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.
#webringtheworldtotanzania
#REPOST @wizara_ya_nishati_tanzania with @get__repost__app Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania Prof.Shubi Kaijage anawakaribisha Kushiriki Kongamano la 10 la Jotoardhi Afrika.
#Usipange Kukosa Kongamano Hili
Thank you @ppra_tanzania for choosing AICC.
We look forward to hosting you again
@ppra_tanzania
@tanzania_unforgettable
@msemajimkuuwaserikali
@ikulu_mawasiliano
@maelezonews
#webringtheworldtotanzania
Mkurugenzi Mtendaji wa AICC Bi. Christine Mwakatobe akizungumza na Wakuu wa Taasisi za Umma na Wenyeviti wa Bodi wakati wa mkutano wao unaoendelea AICC, jijini Arusha.
#webringtheworldtotanzania