Arusha International Conference Centre

Arusha International Conference Centre Looking for a meeting venue? Welcome to AICC located at the heart of Africa, midway between Cairo and Capetown.

The perfect venue for your meetings with abundant natural attractions around, the Centre accommodates up to 1,350 delegates.

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mhe.David Silinde amefunga rasmi kikao cha Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Kilimo leo J...
30/01/2025

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mhe.David Silinde amefunga rasmi kikao cha Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Kilimo leo Januari 30.2.2024 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC) kwenye Ukumbi wa Mbayuwayu.


Wakuu wa nchi za Afrika na  wadau wa maendeleo wakiwa na mwenyeji wao Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt....
28/01/2025

Wakuu wa nchi za Afrika na wadau wa maendeleo wakiwa na mwenyeji wao Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa Nishati wa nchi za Afrika unaofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam Januari 28, 2025.



   Wakuu wa nchi za Afrika na  wadau wa maendeleo wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa Mkutano  wa Nishati wa nchi za...
28/01/2025

Wakuu wa nchi za Afrika na wadau wa maendeleo wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa Mkutano wa Nishati wa nchi za Afrika unaofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam Januari 28, 2025.

Mkurugenzi Mtendaji wa AICC, Bi. Christine Mwakatobe akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi Dr....
28/01/2025

Mkurugenzi Mtendaji wa AICC, Bi. Christine Mwakatobe akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi Dr. Veronica Nyahende na Mkurugenzi wa Huduma za Biashara Bw.Philip Chitaunga muda mchache kabla ya kuanza kwa Mkutano Nishati wa Wakuu wa nchi za Afrika. Mkutano huo wa siku 2 unaofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) unafikia kilele chake leo Januari 28, 2025



Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua mkutano wa Kimataifa wa Nishati unaowakutanisha ...
27/01/2025

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua mkutano wa Kimataifa wa Nishati unaowakutanisha Viongozi mbalimbali wa Afrika, Mashirika ya Kimataifa, Viongozi wa Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika na taasisi ya Rockefeller (M300) inayofanyika leo Januari 27, 2025 kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es salaam.



Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Said M***a ambaye pia ni Mwenyekit...
27/01/2025

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Said M***a ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Miradi na Ujenzi amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) na kupokelewa na Kaimu Mkurugenzi wa AICC Dr. Veronica Nyahende.

Ziara hiyo iliyokuwa na lengo la kutembelea na kukagua eneo ambalo kitajengwa kituo kipya cha mikutano cha MKICC na pamoja na miradi mbalimbali inayotekelezwa na AICC.

Akiwa ameongozana na k**ati yake ya Miradi na Ujenzi Naibu Waziri alitoa maelekezo mbalimbali ambayo yalipokelewa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu kwa utekelezaji.

Ziara hii ni ishara ya kuendelea kukuza na kuboresha miundombinu ya AICC kwenye hadhi ya kimataifa zaidi.

The moment we all have been waiting for is finally here.All set and ready to host Africa Heads of State Energy Summit to...
26/01/2025

The moment we all have been waiting for is finally here.
All set and ready to host Africa Heads of State Energy Summit to be held at JNICC, Dar es Salaam from 27th -28th 2025



Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko mapema leo tarehe 15 Januari, 2025 amekagua maandalizi ya ...
15/01/2025

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko mapema leo tarehe 15 Januari, 2025 amekagua maandalizi ya Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.

12/01/2025
Count down to the big day, the big event has just begun
28/12/2024

Count down to the big day, the big event has just begun



WACHEKESHAJI VINARA ZAIDI YA 10 WA THE CHURCHIL KUWASILI ARUSHA MCHANA HUU.Waigizaji zaidi ya Kumi wa Sanaa za Majukwaan...
27/12/2024

WACHEKESHAJI VINARA ZAIDI YA 10 WA THE CHURCHIL KUWASILI ARUSHA MCHANA HUU.

Waigizaji zaidi ya Kumi wa Sanaa za Majukwaani kutoka nchini Kenya wanaounda kundi la Churchil Show wanatarajiwa kuwasili Mkoani Arusha mapema hii leo kupitia Mpaka wa Namanga, tayari kwaajili ya Usiku wa Kuvunjwa mbavu unaotarajiwa kufanyika Kesho Jumamosi Disemba 28, 2024 kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Jijini Arusha AICC.

Kulingana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda, Muandaaji na mratibu wa Onesho hilo, wakati akimpokea Muanzilishi na Kiongozi Kinara wa Kundi hilo Bw. Daniel Wambua maarufu k**a Churchil, amesema Waigizaji hao wataungana na Washiriki wengine zaidi ya 30 waliopatikana kupitia usahili unaoendelea Jijini Arusha chini ya Majaji kutoka kwa kundi la Churchil.

Onesho la Kuvunja mbavu kutoka kwa kundi la The Churchil kutoka nchini Kenya wanaofanya Tamasha lao la kwanza nchini Tanzania linafanyika Jumamosi hii huku kiingilio kikiwa ni Shilingi 50,000 kwa viti vya kawaida, 100,000 kwa VIP na Tsh.500,000 kwa VVIP ambapo tiketi zinapatikana kupitia tovuti ya WWW.ArushaNow.Co.Tz

HAPPY HOLIDAYS
25/12/2024

HAPPY HOLIDAYS

OFFICE SPACE FOR RENT
20/12/2024

OFFICE SPACE FOR RENT

Naibu Waziri Mkuu  na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua rasmi Kongamano la 15 la Wataalamu wa Ununuzi na...
17/12/2024

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua rasmi Kongamano la 15 la Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi AICC katika Ukumbi wa Simba leo Disemba 17.2024

Minister of  Natural Resources and Tourism Hon.Dunstan Kitandula officiated the opening of  the 3rd International Tanzan...
11/12/2024

Minister of Natural Resources and Tourism Hon.Dunstan Kitandula officiated the opening of the 3rd International Tanzania Forest Research Institute (TAFORI) Scientific Conference at AICC today December 11,2024.


Address

East African Community Bvd
Arusha

Opening Hours

Monday 08:00 - 22:00
Tuesday 08:00 - 22:00
Wednesday 08:00 - 22:00
Thursday 08:00 - 22:00
Friday 08:00 - 22:00
Saturday 08:00 - 22:00
Sunday 08:00 - 22:00

Telephone

+255272050181

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Arusha International Conference Centre posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Arusha International Conference Centre:

Videos

Share