Bongo Music Awards-BMA
- Home
- Tanzania
- Dar es Salaam
- Bongo Music Awards-BMA
Bongo Music Awards is the Entertainment Award especially in Music Industry that aim to recognize goo
07/12/2023
Kwa Wadau wote wa Tuzo za Bongo Music Awards (BMA) tunaomba mjiunge kwenye channel yetu ya WhatsApp:
18/11/2023
TAARIFA KWA UMMA
KUHUSU MATUMIZI YA JINA VISIT BONGO KAMA JINA LA ALBUM MPYA YA MSANII HARMONIZE.
Kampuni ya Millennium Stars Entertainment ambayo ndiyo inaratibu Tuzo za Music za Bongo Music Awards na pia waasisi wa Wazo na Jina la Vist Bongo tumepokea simu kutoka kwa wadau mbalimbali wakitaka kujua Msimamo wetu kuhusu Matumizi ya Jina “Visit Bongo” kwenye Album Mpya ya Msanii (Harmonize) inayotarajiwa kutoka hivi Karibuni.
Baada ya Tafakuri ya Kina tumeona ni Vema tukaweka wazi kuwa Ubunifu wa Jina hilo ni wa kwetu na tulianza kuutumia Kuanzia Tarehe 1, October, 2022 (Angalia Machapisho ya Instagram ya Ukurasa wa ) wakati tukihamasisha Upigaji kura kwa wasani waliokuwa wakishiriki Tuzo za Bongo Music Awards.
Pamoja na hayo, Tunampongeza msanii Harmonize kwa kuupenda ubunifu huu na kuupa heshima ya Kuutumia k**a Jina la Album yake Mpya. Kampuni ya Millennium Stars haitarajii kuchukua hatua zozote kuhusu jambo hili kwani Kampuni yetu inaamini katika Ustawi wa Sanaa.
Lakini pia tunapenda kuweka wazi kuwa Kampuni ya Millennium Stars Entertainment ndiyo haswa waasisi wa Jina hilo na ina haki ya kutumia jina hilo kuendana na malengo yake ya Uasisi.
Tunawashukuru wadau wetu wote aambao wameendelea kusimama nasi katika harakati za kukuza Sanaa ya Tanzania.
Josias Charles Isaya - CEO M.S.E Company Ltd
Founder Bongo Music Awards.
tanzania
mwanafa
@
18/11/2023
TAARIFA KWA UMMA
KUHUSU MATUMIZI YA JINA VISIT BONGO KAMA JINA LA ALBUM MPYA YA MSANII HARMONIZE.
Kampuni ya Millennium Stars Entertainment ambayo ndiyo inaratibu Tuzo za Music za Bongo Music Awards na pia waasisi wa Wazo na Jina la Vist Bongo tumepokea simu kutoka kwa wadau mbalimbali wakitaka kujua Msimamo wetu kuhusu Matumizi ya Jina “Visit Bongo” kwenye Album Mpya ya Msanii (Harmonize) inayotarajiwa kutoka hivi Karibuni.
Baada ya Tafakuri ya Kina tumeona ni Vema tukaweka wazi kuwa Ubunifu wa Jina hilo ni wa kwetu na tulianza kuutumia Kuanzia Tarehe 1, October, 2022 (Angalia Machapisho ya Instagram ya Ukurasa wa ) wakati tukihamasisha Upigaji kura kwa wasani waliokuwa wakishiriki Tuzo za Bongo Music Awards.
Pamoja na hayo, Tunampongeza msanii Harmonize kwa kuupenda ubunifu huu na kuupa heshima ya Kuutumia k**a Jina la Album yake Mpya. Kampuni ya Millennium Stars haitarajii kuchukua hatua zozote kuhusu jambo hili kwani Kampuni yetu inaamini katika Ustawi wa Sanaa.
Lakini pia tunapenda kuweka wazi kuwa Kampuni ya Millennium Stars Entertainment ndiyo haswa waasisi wa Jina hilo na ina haki ya kutumia jina hilo kuendana na malengo yake ya Uasisi.
Tunawashukuru wadau wetu wote aambao wameendelea kusimama nasi katika harakati za kukuza Sanaa ya Tanzania.
Josias Charles Isaya - CEO M.S.E Company Ltd
Founder Bongo Music Awards.
tanzania
mwanafa
@
18/11/2023
TAARIFA KWA UMMA
KUHUSU MATUMIZI YA JINA VISIT BONGO KAMA JINA LA ALBUM MPYA YA MSANII HARMONIZE.
Kampuni ya Millennium Stars Entertainment ambayo ndiyo inaratibu Tuzo za Music za Bongo Music Awards na pia waasisi wa Wazo na Jina la Vist Bongo tumepokea simu kutoka kwa wadau mbalimbali wakitaka kujua Msimamo wetu kuhusu Matumizi ya Jina “Visit Bongo” kwenye Album Mpya ya Msanii (Harmonize) inayotarajiwa kutoka hivi Karibuni.
Baada ya Tafakuri ya Kina tumeona ni Vema tukaweka wazi kuwa Ubunifu wa Jina hilo ni wa kwetu na tulianza kuutumia Kuanzia Tarehe 1, October, 2022 (Angalia Machapisho ya Instagram ya Ukurasa wa ) wakati tukihamasisha Upigaji kura kwa wasani waliokuwa wakishiriki Tuzo za Bongo Music Awards.
Pamoja na hayo, Tunampongeza msanii Harmonize kwa kuupenda ubunifu huu na kuupa heshima ya Kuutumia k**a Jina la Album yake Mpya. Kampuni ya Millennium Stars haitarajii kuchukua hatua zozote kuhusu jambo hili kwani Kampuni yetu inaamini katika Ustawi wa Sanaa.
Lakini pia tunapenda kuweka wazi kuwa Kampuni ya Millennium Stars Entertainment ndiyo haswa waasisi wa Jina hilo na ina haki ya kutumia jina hilo kuendana na malengo yake ya Uasisi.
Tunawashukuru wadau wetu wote aambao wameendelea kusimama nasi katika harakati za kukuza Sanaa ya Tanzania.
Josias Charles Isaya - CEO M.S.E Company Ltd
Founder Bongo Music Awards.
tanzania
@
06/10/2023
Hongera sana Judge wa Tuzo za Bongo Music Awards Dr. kwa kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA). Taaluma yako, Mchango wako kwenye Sanaa, na Uzoefu wako ninaamini vinakuja kuleta mapinduzi ya Kweli kwenye Tasnia ya Sanaa Nchini
31/12/2022
We wish You Happy New Year 2023.
25/12/2022
Bongo International Music Awards Winners 1st Season
24/12/2022
Pongezi & Shukrani
23/12/2022
The Wait is almost Over💪💪
Event:- Announcing Bongo Music Awards winners.
Time:- 19:00pm
Venue: Instagram
17/12/2022
Bongo Music Awards Upates
05/12/2022
Ahsante Kwa Kushiriki Kupiga Kura.
Taarifa zaidi kuhusu Utolewaji wa Tuzo za Bongo Music Awards zitakuijia Kupitia Ukurasa huu huu
16/11/2022
Endelea Kupiga Kura Kwa Washiriki wa Bongo Music Awards
16/11/2022
Keep Voting
16/11/2022
Vote for
- Vitu Vingi
- Yeeh
@ Fid Q- Shujaa
- Blue Print
- Future Wife
As Best Song of the Year- Hip Hop
08/11/2022
Salamu za Pole.🙏🙏
31/10/2022
Leo tulipata Fursa ya Kutembelewa na Afisa Kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) .tanzania Mr. Mrisho Mtumwa. Pamoja na mambo mengine amefikisha Salamu na Pongezi kutoka Kwa Katibu Mtendaji wa BASATA Dr ambaye amekuwa mstari wa Mbele Kuunga Mkono Jitihada za Wakuza Sanaa Mbalimbali Nchini Tanzania.
Pamoja na mambo mengine Mr. Mrisho aliweza kuona Mchakato wa Upigaji Kura Kwa Tuzo za Bongo Music Awards unavyoendelea. Pamoja na mambo mengine Baraza la Sanaa la Taifa limeahidi kuendelea kutoa ushirikiano Mkubwa kuhakikisha Mchakato huu unafanyika Kwa mafanikio makubwa.
31/10/2022
31/10/2022
Endelea Kupiga Kura Kwa Washiriki wa Bongo Music Awards.
Tuzo za Bongo Music Awards zinatolewa Kwa kufuata Kura za Mashabiki Kwa 100%.
Bongo Music Awards, Tuzo za Mashabiki💪
30/10/2022
Endelea Kupiga Kura Kwa Washiriki wa Tuzo za Bongo Music Awards. Unaweza kupiga Kura Kwa kubofya Link iliyoko kwenye Bio.
30/10/2022
Endelea Kupiga Kura Kwa Washiriki wa Tuzo za Bongo Music Awards Kwa kubofya Link iliyoko kwenye Bio.
14/10/2022
Ni Nyerere Day, Lets Vote !!!!!!
Mwalimu Nyerere alikuwa mdau mkubwa wa Sanaa hapa Nchini. Tumuenzi leo kwa kuwapigia Kura washiriki wa Tuzo za Bongo Music Awards. K**a Kuna Category ulisahau kuzipigia Kura, basi Login kwenye Account yako, kisha Bofya Vote ili uweze kupiga Kura kwenye Category zilizobakia. Pia k**a umepiga kura kwa Category zote, watumie Ndugu, jamaa na marafiki Link https://bongomusicaward.co.tz/
Wajisajili na kuwapigia Kura wasanii wanaoamini wana Stahili kupata Tuzo kwa mwaka huu. K**a unapata changamoto yoyote ku Login tafadhali wasiliana nasi kwa Whatsapp _255766935721.
Bongo Music Awards, Tunakipa Thamani Kipaji chako.
Mchakato wa Upigaji Kura kwa Tuzo za Bongo Music Awards umefunguliwa rasmi leo Tarehe 21/09/2022 hadi Tarehe 25/11/2022. Jinsi ya Kupiga Kura k**a tayari una Account ya Bongo Music Awards: ✅Login kwenye Account yako (Ingiza Username na Password) ✅Bofya Vote ✅ Bofya Vote kupiga kura kwa mtu / W...
12/10/2022
Zoezi la Kupiga Kura linaendelea Kwa Washiriki wa Tuzo za Bongo Music Awards. Unaweza kumpigia Kura Kwa kubofya Link kwenye Bio, Kujisajili Kisha kupiga Kura
Address
Dar Es Salaam
Telephone
Website
Alerts
Be the first to know and let us send you an email when Bongo Music Awards-BMA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Contact The Business
Send a message to Bongo Music Awards-BMA:
Videos
Maneno haya ya Naibu Waziri Mkuu Mh @biteko yanagusa nyanja mbalimbali za kimaendeleo Nchini Tanzania ikiwa ni pamoja na Sekta ya Sanaa na Utamaduni. Jitihada zinazofanywa na Wageni Katika Tasnia ya Sanaa zinathaminiwa kuliko Jitihada zinazofanywa na Wazawa. Tuzo zinazoanzishwa na makampuni ya Kigeni zinathaminiwa na kupewa Support kuliko zile zinazoanzishwa na Wazawa. Suala la Kupiga Vita mafanikio ya project mbalimbali zenye Lengo la kuinua Sanaa ikiwa ni pamoja na Tuzo zinazoanzishwa na wadau binafsi tena Watanzania ni sehemu ya Jambo ambalo baadhi ya wadau wanajivunia kufanya. Hii ni Aibu. Nitoe wito kwa @basata.tanzania , @kmapana , @wizara_sanaatz , @gersonmsigwa , @damasndumbaro_official na ndugu yangu Mh Mwana FA kaeni na wadau, fanyeni Tathimini, Je hapa tulipo ndipo destination yetu? Get ready for Bongo Music Awards 2024.
Hongera sana Washindi wote wa Tuzo za Bongo Music Awards. Taarifa zaidi kuhusu Utaratibu wa Kupata Tuzo Kwa Washindi wote utatangazwa hivi karibuni.
Endelea Kupiga Kwa Washiriki wa Tuzo za Bongo Music Awards ili kuwawezesha kuibuka na Ushindi wa Tuzo hizi. Unaweza kumpigia Kura @officialalikiba Kwa kubofya Link iliyoko kwenye Bio, Kisha Kujisajili kwenye Mfumo wetu wa Upigaji Kura. Baada ya Kujisajili, Login kwenye Account yako, Bofya Vote, Anza Kupiga Kura. Presenter @neypova_ Production @challimediatz and @challitv_online Sponsored by @e4msocialcentre
Wiki iliyopita Team nzima ya Bongo Music Awards ilihamia Iringa Kwa muda. Lengo kuu la Safari ilikuwa kushiriki kwenye Tamasha linaloitwa OutCity Festival ambalo Tunaamini litafungua Fursa mpya Kwa Wasanii Nchini Tanzania. Matamanio yetu ni kuona pamoja na Kupongeza Jitihada kubwa zinazofanywa na Wasanii wetu Kupitia Tuzo za Bongo Music Awards lakini pia wapate matamasha mbalimbali ambayo watayatumia kujiongezea Kipato na Kutangaza kazi zao. Baada ya Tuzo za Bongo Music Awards Kuna uwezekano Mkubwa wa Washiriki wa Tuzo Kupata Show katika Mikoa mbalimbali kama sehemu ya kutoa Motisha Kwa Wasanii wetu.
Endelea Kupiga Kura Kwa Washiriki wa Tuzo za Bongo Music Awards. Mchakato utaendelea mpaka Tarehe 25/11/2022. Thanks @a Updates kuhusu Upatikanaji wa Ticket za Kuhudhuria Mchakato wa Utolewaji wa Tuzo zitakuijia punde kupitia Mitandao yetu ya Kijamii. Keep Voting ✅ Production @challimediatz Sponsored by @e4msocialcentre @uhuruauditors
Leo wakati tukiendelea na Tour ya OutCity Festival tumekuwa na @djmonatz ambaye anawania Tuzo za Bongo Music wards. Ungependa kusiliza anasema Nini kuhusu Bongo Music Awards?
Wapigie Kura Kwaya ya Mtakatifu Kizito - Makuburi @kmkmakuburi kuwa Kwaya Bora ga Mwaka Kwa ku Login kwenye Account yako na Kisha kubofya @Vote✅ Kujisajili ili kupiga Kura Bofya Link iliyoko kwenye Bio
Welcome to Bongo Music Awards 💪💪💪. Kipindi Kipya chenye Updates Tofauti tofauti kuhusu Bongo Music Awards kitaanza kukuijia soon
Kundi la Ngoma za Asili "ELIMISHA ARTS GROUP" limewasilisha Kazi yake Tayari Kwa ajili ya Nomination.Ungependa Group hili lishiriki Tuzo za Bongo Music Awards? Pendekeza sasa!!! Kama Bado unaweza kufanya hivyo Kwa ku Tengeneza/ku Login kwenye Account yako kupitia https://bongomusicaward.co.tz @basata.tanzania @wizara_sanaatz @mohamed_mchengerwa @cloudsfmtz @majizzo @efmtanzania @shambafmradio @fredyherbet @djaroarungu @e4msocialcentre @kipepeopad @ikulu_mawasiliano @mwelulilaerick @gersonmsigwa @ @africulture_ @hugodomingoevents @zsoundevents
Kundi la Ngoma za Asili "ELIMISHA ARTS GROUP" limewasilisha Kazi yake Tayari Kwa ajili ya Nomination.Ungependa Group hili lishiriki Tuzo za Bongo Music Awards? Pendekeza sasa!!! Kama Bado unaweza kufanya hivyo Kwa ku Tengeneza/ku Login kwenye Account yako kupitia https://bongomusicaward.co.tz @basata.tanzania @wizara_sanaatz @mohamed_mchengerwa @cloudsfmtz @majizzo @efmtanzania @shambafmradio @fredyherbet @djaroarungu @e4msocialcentre @kipepeopad @ikulu_mawasiliano @mwelulilaerick @gersonmsigwa @ @africulture_ @hugodomingoevents @zsoundevents
Kundi la Ngoma za Asili "BUJORA DANCE GROUP" limewasilisha Kazi yake Tayari Kwa ajili ya Nomination.Ungependa Group hili lishiriki Tuzo za Bongo Music Awards? Pendekeza sasa!!! Kama Bado unaweza kufanya hivyo Kwa ku Tengeneza/ku Login kwenye Account yako kupitia https://bongomusicaward.co.tz @basata.tanzania @wizara_sanaatz @mohamed_mchengerwa @cloudsfmtz @majizzo @efmtanzania @shambafmradio @fredyherbet @djaroarungu @e4msocialcentre @kipepeopad @ikulu_mawasiliano @mwelulilaerick @gersonmsigwa @ @africulture_ @hugodomingoevents @zsoundevents
Kundi la Ngoma za Asili "BUJORA DANCE GROUP" limewasilisha Kazi yake Tayari Kwa ajili ya Nomination.Ungependa Group hili lishiriki Tuzo za Bongo Music Awards? Pendekeza sasa!!! Kama Bado unaweza kufanya hivyo Kwa ku Tengeneza/ku Login kwenye Account yako kupitia https://bongomusicaward.co.tz @basata.tanzania @wizara_sanaatz @mohamed_mchengerwa @cloudsfmtz @majizzo @efmtanzania @shambafmradio @fredyherbet @djaroarungu @e4msocialcentre @kipepeopad @ikulu_mawasiliano @mwelulilaerick @gersonmsigwa @ @africulture_ @hugodomingoevents @zsoundevents
Group Ngoma za Asili BUJORA DANCE GROUP limewasilisha Kazi yake Tayari Kwa ajili ya Nomination.Ungependa Group hili lishiriki Tuzo za Bongo Music Awards? Pendekeza sasa!!! Kama Bado unaweza kufanya hivyo Kwa ku Tengeneza/ku Login kwenye Account yako kupitia https://bongomusicaward.co.tz @basata.tanzania @wizara_sanaatz @mohamed_mchengerwa @cloudsfmtz @majizzo @efmtanzania @shambafmradio @fredyherbet @djaroarungu @e4msocialcentre @kipepeopad @ikulu_mawasiliano @mwelulilaerick @gersonmsigwa @ @africulture_
Group ya Bwagamoyo Africulture limewasilisha Kazi yake Tayari Kwa ajili ya Nomination.Ungependa Group hili lishiriki Tuzo za Bongo Music Awards? Pendekeza sasa!!! Kama Bado unaweza kufanya hivyo Kwa ku Tengeneza/ku Login kwenye Account yako kupitia https://bongomusicaward.co.tz
Shortcuts
Category
Nearby event planning services
-
Dsm
-
0757077779
-
255
-
Good Orange Catering & Entertainment Services
P. O. BOX 95759 -
zenamtengulee@gmail. com
Other Event Planners in Dar es Salaam
-
Ali Hassan Mwinyi Road
-
Masaki
-
Dar es Salaam
-
Dsm
-
Mbezi Beach Tank Bovu
-
Namanga
-
Mbagala Zakhem Tanzania �