12/11/2022
Wee chagua kifurushi chako tuu....
Kinachokufaa ndio iko iko lipid..
.
Noma Mwanangu � http://mdundo.com/song/1021574
(1)
Wee chagua kifurushi chako tuu....
Kinachokufaa ndio iko iko lipid..
.
Check check
Miziki 20 Tulivuuuu Unaikuta Kwenye Album Ya
Link In His Bio
Ma legend wanaelewa.
https://twitter.com/pmawenge/status/1569546447733035008?t=3HALoh5-z9WITkzc4fqfOA&s=19
“Now Is On Audiomack, Let’s Goo!!👇🏼👇🏼 https://t.co/CNfL8qPepr”
https://www.facebook.com/100045699816141/posts/610928253773830/
First Of All I Want To Thank God For The Beautiful Life, Health & Good People Around Me Including You, Thanks To My Mom For Being The Best Mom To Our Family, RIP Dad And Thank You Too!
Sasa Nimeingia Mwaka Wa Utajiri 😊😊
TO ME
SIMU NA MATUKIO EP
https://www.facebook.com/100045699816141/posts/606495117550477/
Rapper kupitia ukurasa wake wa instagram amesema ukimya wake wa muda mrefu ulikuwa ukisababishwa na utayarishaji wa “EP” hii aliyoipa jina la “SIMU NA MATUKIO”
Ame-share ngoma zitakazopatika kwenye “EP” hiyo na ameshaikamilisha kwa asilimia 85.
Je, kuna wasanii watakuwa wameshirikishwa kwenye “EP” hii?
Kuna jambo letu hapo kwenye bio
Nenda Kwenye Bio….
Video Is Out
Prod by
Dir by
Enjoy 🥂
Manzi Za Chuga Zina Misimamo Sana Ila Hii Yangu Ni Kwerekweche Kabisa
- Link In My Bio
Prod
Studio
Artwork
Baada Ya Pumziko Reeeefu Tangu Ngoma Ya
Sasa X Wamerudi Kuendeleza Burudani Na Safarii Wamemleta Mtaani😃😃
Prod by
Directed by
https://youtu.be/kRVhod2k-yA
LINK PIA IPO KWENYE BIO ZAO
Sambaza,Like na Comment
Ipo Yote Kwenye Bio Ya
Hebu kàmsikilizeni vyema.,
Na Wakulungwa Na
Studio Za
BOMBRONX AREA 💥
Oooh Lord Thank You So Mu For Another Year.... To Me
Hey Guys Guseni Link Hapo Juu Chap Kuna Zawadi Yetu👆🏾
Tap The Link In My Bio And Lets Enjoy Together....🙏🏾
Mwanamuziki wa Hip Hop P-Mawenge ameweka wazi kwamba kwenye 'GAME' anaamini ana nyimbo kali ya mapenzi ya Hip Hop kuliko ngoma zote zilizo wahi kusikika toka kwa wana Hip Hop wa Bongo.
Usiikose kuanzia saa 12:00 jioni EastAfrica TV
Cc
Twende kwenye chap chap
Mwambie na mwenzio
Redio na TV zinaonjeshwa💥🔥
Tunakuja na kitu kipya.
Tafadhali Subscribe Sasa YouTube Channel Ya
https://youtube.com/channel/UCgobMO09b1wyyIYLOyidhlA
Pia Follow Sasa IG Ya
https://www.instagram.com/pmawenge/
JAMBO LINADONDOKA LEO!!!
Something Good on the way.
Kiwalani, Bom Bronx
Dar Es Salaam
Be the first to know and let us send you an email when Pthemc_zaiidyao posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Send a message to Pthemc_zaiidyao:
Nenda Kwenye Bio…. #MyFutureWife Video Is Out Prod by @franken_attack Dir by @kurunzistudios Enjoy 🥂
@pmawenge Manzi Za Chuga Zina Misimamo Sana Ila Hii Yangu Ni Kwerekweche Kabisa @pmawenge - #MyFutureWife Link In My Bio Prod @franken_attack Studio @bantumusic_studios Artwork @sirkillermc
Baada Ya Pumziko Reeeefu Tangu Ngoma Ya #PisiKali Sasa @pmawenge X @zaiidyao Wamerudi Kuendeleza Burudani Na Safarii Wamemleta #DEM_NOMA Mtaani😃😃 Prod by @kitathepro Directed by @director_gumbo https://youtu.be/kRVhod2k-yA LINK PIA IPO KWENYE BIO ZAO Sambaza,Like na Comment
Mwanamuziki wa Hip Hop P-Mawenge @pmawenge ameweka wazi kwamba kwenye 'GAME' anaamini ana nyimbo kali ya mapenzi ya Hip Hop kuliko ngoma zote zilizo wahi kusikika toka kwa wana Hip Hop wa Bongo. Usiikose #eNewz kuanzia saa 12:00 jioni EastAfrica TV Cc @mtakigamba
Tunakuja na kitu kipya. Tafadhali Subscribe Sasa YouTube Channel Ya #PMawenge https://youtube.com/channel/UCgobMO09b1wyyIYLOyidhlA Pia Follow Sasa IG Ya @pmawenge https://www.instagram.com/pmawenge/ JAMBO LINADONDOKA LEO!!! @about_pthemc_zaiidyao @pmawenge #MUZIKIYAMAWENGE #SAUNDIYAWAKUBWA
KIKOSI CHANGU KIKOSI KAZI🔥🔥 Habari, Ndugu,jamaa,rafiki,mfuasi na shabiki. Mwaka 2020 umekuwa mzuri sana kwa @kikosikazitz Tangu itoke #Kazini #Sala #Fanya_Wewe #Anthem #Miss2020 @kikosikazitz Kimefanikiwa kuwarudisha baadhi ya Rappers kwenye RAP japo bado moto wetu wa jehanamu haujaguswa. Wakati #MISS2020 inaendelea kuwaweka sawa huko mitaa @kikosikazitz kimewaandalia zawadi ya ngoma mpya kabisa iitwayo #MAMELODY ft @thisisgosby ambayo itatoka 26th Dec 2020 kama zawadi ya Boxing Day na kufunga mwaka kwa ujumla. Audio by:@kitathepro Visuals by:@adamjumanxl Assisted by @director_florian Special thanks to @konyagi_tz @konyagi_tz @konyagi_tz @konyagi kwa kufanikisha video hii ya #MAMELODY GET READY PEOPLE....Tufollow kwenye Social media Platforms zetu na kusubscribe YouTube channel yetu #KikosiKaziKazini Cc @nikkimbishi999 @azmamponda @niitesonga @stereosingasinga @onetheincredible @zaiidyao @pmawenge @mansu_li
Lile VIBE La Studio Sasa @zaiidyao Wakati “#PISI_KALI” Zinapikiwa Wimbo Wao Pale @bantumusic_studios 😂😂😂 I see you @qboymsafi_tz @hech_ally @chuga_star__one @cutting_master_barbershop @franken__tz Ebwana Eeeeh LINK KWENYE BIO HAPO @pmawenge
Mwaka 2020 umekuwa mwaka wenye changamoto nyingi Duniani,matukio mengi yamejiri kwenye nyanja mbalimbali za maisha kuanzia uchumi,siasa,majanga ya asili na milipuko ya magonjwa kama COVID-19 n.k @kikosikazitz kimetumia Sanaa kwa kuupa mwaka 2020 Umiss yaani #MISS2020 wimbo ambao ameshirikishwa Producer @kitathepro kwa upande wa Chorus na music production pia na video ikafanywa na @adamjumanxl akisaidiana na @director_florian director anakuja vizuri sana kwenye medani hii ya video. Wengi wamekanganywa kidogo na verse ya @niitesonga aliposema "Hathamini anachokipata,amepita mpaka na Mhe.Benjamin Mkapa" hapo maana yake ni mwaka 2020 tumeondokewa pia na Rais wa awamu ya 3 #MzeeMkapa na maana nyingine ni tungo tata ambayo unaruhusiwa kuitafsiri bila kupotosha. Video iko YouTube kwenye channel yetu #KikosiKaziKazini Wengi wametupongeza @kikosikazitz kwa kufunga mwaka vizuri lakini tunawaambia hii #MISS2020 sio ya mwisho kwa mwaka 2020. Endeleeni kusubscribe kwenye channel yetu na kufollow social media pages zetu muone mwendelezo wa kazi! #ASANTENI @azmamponda @nikkimbishi999 @niitesonga @stereosingasinga @mansu_li @zaiidyao @pmawenge @onetheincredible @aznas_studio @about_pthemc_zaiidyao