Cannabizzy tz

Cannabizzy tz Deejay Cannabizy

07/08/2024
07/08/2024
I can't wait,i saw you there,but cant you remember me????
21/07/2024

I can't wait,i saw you there,but cant you remember me????

08/06/2024

Behind my back, you have to know!!!!!!!,,,,,,,,
I had already,I had crossed,I had done alot without.
Trust me,prepare yourself GOD WILL Alwaysssssssssswe will meet there where peaple finally stay


Trying to be someone new
27/05/2024

Trying to be someone new

26/05/2024
27/01/2024
08/01/2024

Captivating moment between Snoop Dog X 50 Cent.
Sometimes a moment becomes a memory!

08/01/2024

Rick Ross: The friendship is strong when we are all rich.

08/01/2024

Jet Li & Jackie Chan..🍁

08/01/2024

19 years ago; Beyonce & Jay Z ❤️

08/01/2024

Many are proposing that JAY-Z's birthday be made a holiday in NYC b'cos HOV's success are worth celebrating. Do you object to that? share ya thoughts in the comment section.

08/01/2024

The All-Time Three
Who's the best ever?

08/01/2024

Jay-Z, LeBron James, Kevin Hart, Rich Paul and Ty Lue
!

08/01/2024

Roll call:
*2Pac *Big L 139
*Eazy-E *Bone Thugs-N-Harmony
*Dr. Dre *Diddy
*Nas *Jay-Z
*Snoop Dogg *The Notorious B.I.G
*DMX *Redman

08/01/2024

Thinking too much about your look is one of the biggest mistakes you can make.

18/07/2023

"Carrie! Why do you treat me like this? For the past three or four years, I have given you my heart and soul! I saved money and gave all my money to you, just to show you my sincerity! Why do you still abandon me and be with this middle-aged fat man?"

18/07/2023

⚠️😳 PCK amchambua na kumnyumbua Alikiba, amwagia sifa Diamond Platnumz amepost picha akiwa na mastaa hao wote wawili kisha kuanza kwa kumlipua Kiba

"Ndugu yangu ally hivi umeshaga kaa chini na kujiuliza why ukitoa nyimbo zako hua zina hit one week na kusahaulika?

1. Kwa sababu una kiburi

2. Hujawai kuheshim hata mashabiki zako

3. Anae kushauri vizuri kwako hugieuka adui

4. Una Roho ya kwa nini

5. Tafuta uongozi bora

6. Acha kuringia mashabiki wanaokufanya upate mloo

7. Acha kujishindanisha na diamond coz jiulize siku akifa utatembea na upepo wa nani? Ao ndo utatengeneza bifu na Rayvanny ao mario tena ili usikike?

Umshukuru saana marehem Ruge na clouds coz ulikuaga umepotea kwenye Game kabisa wao ndo wakaja kukufufua baada ya bifu lao na Diamond kua bifu kweli kweli So ninachokijua hata hiyo sumu ya panya mpaka juma5 watu watakua wameisahau Kwa ushauri tu naweza kukwambia Acha mziki na focus na kilimo umri umeenda" - ameandika PCK

Baada ya hapo akaandika haya kuhusu Diamond Platnumz

"Mwamba kabisa ifikie hatua kila nchi ya east africa ijenge sanamu la Diamond Platnumz coz ukweli ndo artist pekee anae iwakilisha east africa nzima kwa kila kitu Sifa kuu za Diamond Platnumz

1. Hanaga kiburi

2. Mtu wa watu

3. Msanii pekee anae hudhuria misiba ya mashabiki zake

4. Anapenda kuinua vijana wenzake

5. Anapenda kuinua wasanii wenzake na kuwasapoti kwakila jambo

6. Hanaga mambo yakuvimba wala kuringa

7. Ana thamini mashabiki zake Kwa sifa hizo ndiomaana mondi hata akae mwaka bila kutoa nyimbo hua thamani yake haishuki but hua inapanda kila siku kwakua ni mtu wa watu na watu hua wanajitoa kumsapoti kwa kila jambo lake Diamond Platnumz nikujuze tu kua tayari AfroCan atakuja kukupokea airport ya Toronto siku ya ijumaa na chakula chote cha Tanzania kimeandaliwa coz anajua unapenda ugali na dagaa mchele kwa kachumbari na mlenda so watu wa TORONTO wana kusubiria saaana kwa hamu kubwa"

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Cannabizzy tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Cannabizzy tz:

Videos

Share

Category

Nearby event planning services


Other DJs in Dar es Salaam

Show All